Kutokana na tafiti nyingi zilizofanyika, wataalamu  wameona kwamba kitendo cha mama kumnyonyesha mtoto kwa matiti yake huchangia katika kupunguza uwezekano wa mama kupata saratani (cancer) ya matiti.  (World Cancer Research Fund; http://www.wcrf.org/). Imeonekana kwamba sasa kuna uthibitisho mkubwa kuhusu jambo hili.

(more…)

del.icio.us Digg Facebook Google Twitter Mail to a friend Thank you for sharing!