Wataalamu walioangalia tafiti nyingi zilizofanyika kuhusu nyama nyekundu (red meat) na saratani wameona upo uthibitisho wa kutosha (mkubwa) kwamba ulaji wa nyama nyekundu kwa kiasi kikubwa unaongeza uwezekano wa kupata saratani ya utumbo mkubwa (colorectal cancer) (WCRF 2007).  Tafiti hizo zimeonyesha kula hadi nusu kilo kwa wiki haiongezi uwezekano wa kupata saratani, lakini kila gramu 50 inayoongezeka huongeza uwezekano wa kupata saratani kwa asilimia 15 (15%).

(more…)

del.icio.us Digg Facebook Google Twitter Mail to a friend Thank you for sharing!